Sunday, August 24, 2014

Taarifa ya kufungwa kwa kipande cha barabara ya Mandela-Ubungo

kielelezo

Mkandarasi Mkuu anayeshughulikia mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, Strabag International ametangaza kufungwa kwa muda kipande cha barabara ya Mandela hadi makutano ya Ubungo Mataa.

Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo Bw. Yahya Mkumba amesema kipande cha barabara ya Mandela kuanzia makutano ya barabara ya Morogoro upande wa kushoto uelekeo wa Tabata kuanzia Ubungo Mataa hadi Darajani patafungwa kuanzia tarehe 25/08/2014 mpaka tarehe 30/08/2014 ili kupisha ujenzi.
Watumiaji wa barabara hiyo watalazimika kutumia upande mmoja wa barabara hiyo. Magari yatakayokuwa yanatokea Mwenge, Kimara na Shekilango yatalazimika kutumia barabara ya upande wa kulia ambayo pia itakuwa ikitumika na magari yanayotoka Tabata kuelekea Ubungo.

“Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaotokea,” alisema Bw. Mkumba.

Magazeti Leo Jumatatu

1_20fa8.jpg
2_05cb9.jpg
03_d1b5b.jpg
3_ce702.jpg
4_275ee.jpg
5_9a843.jpg
004_80ae6.jpg
04_5deb2.jpg
10_f3ddb.jpg
11_0b372.jpg
20_db4bf.jpg
22_267d1.jpg
23_192a9.jpg
00024_2551c.jpg
0024_87bee.jpg
24_5abbd.jpg
25_0f057.jpg
26_a4479.jpg
27_ee699.jpg
28_8bf48.jpg
29_ead1b.jpg
30_bbbfd.jpg
31_b213d.jpg
35_458b0.jpg
36_d7a07.jpg
40_3b18f.jpg
41_7e9b9.jpg
42_c0e27.jpg